JINSI UCHAWI WA KUVUNJA NDOA UNAVYO FANYIKA

  • CONTACT US:   |   |  
  •  

    UNAVYOFANYIKA~Mtu yeyote mwenye chuki na wewe iwe mmekosana au chuki zake tuu kutokana na roho mbaya yake huweza kumwendea mchawi maluuni na akamwambia nataka fulani binti fulani asiolewe kamwe maisha yake yote,na hapo mchawi akataka apewe vitu vifuatavyo ambavyo hutumiwa katika kusafirisha athari ya uchawi wao kwa haraka zaidi

    1.ngu yoyote ambayo alishawahi kuivaa anayetaka kufanyiwa uchawi huu

    2.nywele

    3.kucha [kuweni makini msikate kucha ovyo]

    4.chupi [ni vizuri uanike chumbani kwako pindi unapozifua]

    5.vitambaa vya damu ya hedhi [hivi ndyo muwe makini navyo sana usitupe ovyo maana wakivipata hata kizazi ni rahisi kukufunga]

    Baada ya mchawi kupata kitu kimoja wapo kati ya vitu hivyo ambavyo anavyohitaji huingia navyo kwenye chumba cha giza, kisha anafanya kufru nzito na shetani wake anakuja kumtumikia na wanavitengeneza vile vitu kisha yule jinni anatumwa kwenda kumuingia yule mwanamke anayetakiwa asiolewe maisha yake yote,jinni naye anatii, yuleeeeee anakujaaaaaaaaaaa

    Anapofika kwa mwanamke husika hamuingii kwanza bali hukaa karibu yake muda mrefu akivizia apate nafasi nzuri zaidi ndyo amuingie

    jinni huyu humuingia huyu mwanamke pindi tuu mwanamke huyu anapopatwa na hali fulani ambazo ni

    1.Wakati wa hofu nyingi

    2.wakati wa ghadhabu na hasira

    3.wakati ameghafirika na jambo

    4.wakati wa kufanya mambo maovu

    hapo sasa ndyo nafasi yake ya kumuingia.Na anapomuingia jinni huyu huwa baina ya hali mbili ambazo ni

    1.Humfanya mwanamke aone dhiki moyoni,akose raha na amani,wasiwasi wa moyo,na kumuona kila anayekuja kwao kumposa ni mbaaaaaaya.

    2.au jinni huyu humfanya mwanaume yeyote anayekuwa na mwanamke huyu asiweze kwenda kwao kumposa kwani ghafla atamuona mwanamke ni mbaaaaaya,hana hadhi ya kuwa naye,anatamani amchezee tuu na moyo wake hukosa raha kila anapokutana nae.

    READ ALSO  “Wawaaa… wacha kidogo umeniweza leo,” Mosses wife cried on the bed as she grabbed tight the bed sheets

    Basi hapo sasa kitakachotokea ni kuwa kila mwanaume ambaye atakuja kumposa mwanamke huyu mipango ikishapangwa ghafla tuu anabadilika na anakuwa hamtaki pasipo na sababu yoyote ya msingi hata kama mwanzo alikuwa anampenda kama nafsi yake.na hali hii hutokana na yule jinni aliyetumwa kwa mwanamke huyu,

    Kadri siku zinavyoenda yule jini hujenga nyumba yake mule mwilini mwa yule mwanamke na huanza kuweka uchawi, hapo sasa uchawi unapokomaa sana hali itazidi kuwa mbaya kiupande wa huyu mwanamke kwani kama itatokea mwanaume ataenda kumposa huyu mwanamke akifika kwao na kuingia tuu ndani basi ghafla hujihisi dhiki kubwa moyoni,maisha anayaona giza,anajihisi kama yupo gerezani na akitoka hapo ndiyo bye bye harudi tena kamwe………………………………….

    Katika kipindi chote hicho mwanamke huyu atakuwa anasumbuliwa na maumivu ya kichwa mara kwa mara

    DALILI ZA UCHAWI WA KUVUNJA NDOA
    1.Kuumwa na kichwa kisichoisha kila baada ya muda fulani hata akitumia dawa

    2.Kuhisi dhiki kubwa moyoni hasa baada ya Alasiri mpaka katikati ya usiku

    3.Kumuona kila anayetaka kukuposa ni mbaaya

    4.Kuwa na tabia ya kuwa na mawazo sana,kisha kuwa na kawaida ya kusahahusahau

    5.Kuweweseka usingizini

    6.Wakati mwingine kuumwa sana na tumbo siku za bleeding

    7.Maumivu katika pingili la chini la uti wa mgongo.Kwa uzaidizi wowote tutembelee katika ofisini kwetu ambayo epo Majengo County ya vihiga au piga simu +254740637248 au tembelea tovuti yetu katika https://aol360studios.com

       
       
       
       
       
     
    4.8
    Based on 19 reviews
    powered by Google
    robert dede
    07:23 28 Sep 24
    Good job. You helped me get my wife back.
    Margaret Wanjala
    12:58 26 Sep 24
    I am deeply appreciative of the time and resources dedicated to my case.thanks so much mugwenu doctors
    Humphry Kigika
    05:47 23 Sep 24
    Thank you Doctor, you helped me a lot, my wife came back with the children
    mlikanews
    05:32 23 Sep 24
    He helped me alot.i get back my stollen properties.thanks alot mugwenu doctors.
    Valerie Mulaa
    18:39 22 Sep 24
    Thanks for helping me get back my husband. i love him so much. he gives me money nowadays. asante sanaaa
    Silverstain Mukagwa
    07:36 22 Sep 24
    Hello Mugwenu Doctor, your spell worked like I really wanted. The ceremony I did was a great moment! I felt an incredible energy enveloping me when I did it! I can’t believe this really happened after all the bad experiences I had with spell casters. Thank you very much Mugwenu Doctors!” – Lorene vuguza
    Cynthia Mutindi
    06:48 22 Sep 24
    Thanks to Mugweno Doctors.You helped my father who was in ICU For 14 days without doctors finding any disease. now He is healed and healthy
    Chief Chief
    13:29 21 Sep 24
    I had given up on ever getting help, until someone recommended me to Daktari. Thank you for being there for people like us
    Nicholas Kavita
    09:51 20 Sep 24
    I had a great experience with Mugwenu Doctors. They are very professional and helpful. Their services were effective and delivered with care. Highly recommend to anyone seeking traditional healing methods. Five stars for their dedication!"
    js_loader

    SUGGESTED FOR YOU

    Unlock Financial Stability with Our Proven Money Spells, Money Spells That Work, How to Perform a Money Spell How I Went from Broke to Financial Breakthrough in Just Three Days Through Fast Money Spells That Work Immediately How I Brought Back My Lost Lover in 24 Hours After a Painful Separation Through a Powerful Traditional Healing Process Must Read!! See What  To Do If You Wish To Protect  Yourself From Evil Eye & Bad Luck Shame!! Kampala City Lawyer Caught In The Act With  House Maid

    READ OUR PRIVACY POLICY