Jinsi ya Kujua Nyota ya Unayetaka Awe Kipenzi Chako Cha Maisha ili Kuzuia Matatizo kwa Ndoa Yako

  • CONTACT US:   |   |  
  •  

    Huenda ukawa ni miongoni mwa wahanga wa watu wanaohitaji kufunga ndoa, uwe mwanamke au mwanamke hiyo haijalishi. Hatimaye kiu yako imefikia ukingoni, kwa maana kwa  kutumia nyota zako, utaweza kuoa ama kuolewa kwa urahisi kabisa.

    NYOTA YA PUNDA NA MIZANI
    Mpate mpenzi siku ya Ijumaa kwenye sherehe za ngoma saa 3 au saa 9, vaa nguo rangi mbili juu nyekundu chini njano.
    Mshike mkono mara kwa mara, hakikisha mnakula kabla ya mazungumzo
    NYOTA YA NGOMBE NA NGE
    Ng’ombe: kutana nae saa nane na uwe peke yako, Vaa nguo ya rangi ya kijani iwe siku ya Jumanne saa 2 au saa 8.
    Mpe chakula cha mafuta mafuta na rojo rojo. Mkutanishe na jamaa zako wa nyumbani usimtazame usoni, mguse guse shingo na mapaja.
    Penda kuimba imba au vaa Walkman.
    Tendo la ndoa liwe refu na la kurudia rudia.
    NYOTA YA MAPACHA NA MSHALE
    Penda sana kuzungumza kiingereza au kusoma soma na kushika gazeti unapotembea mbele yake.
    Kutana nae siku ya Jumatano saa 9 na mpende ndugu yake wa pili.
    Penda kutafuna tafuna Big G na zungumza utani kwa wingi huku ukizungumza upesi upesi.
    Vaa nguo za kitoto fupi na usikose mkanda.
    NYOTA YA KAA NA MBUZI
    Penda sana kununa, usicheke hovyo, mpe vitu baridi kama peremende, ice cream, na vitu vya kunyonya.
    Mvamie na umshike shike kitovu pia mfinye finye vidole.
    Tembea nae taratibu na uzungumze nae pole pole, penda sana mambo yake.
    Vaa nguo ya rangi ya bluu isiyoiva. Lazima muishi sehemu za bondeni na nyumba yenu iwe na choo cha ndani na sehemu ya kulia chakula.
    Kutana nae Jumamosi au Jumapili saa 4 au saa 10.
    Zungumza nae kwa kigugumizi.
    NYOTA YA SIMBA NA NDOO
    Mpenzi anapenda kukandwa na hapendi kutolewa ukali na mtembea kwa haraka, saa za mapumziko ziwe saa 1 na saa 5.
    Uwe muhongaji na ukae karibu na nyumba ya kona. Mwanamke avae Kofia au Ushungi na kiuno akibane kwa Mshipi au kanga.
    Tendo la ndoa liwe fupi na la kurudia lakini pendelea kukandana.
    Kutana nae siku ya Jumapili ambayo ndio siku ya Mapenzi.
    NYOTA YA MASHUKE NA SAMAKI
    Chagua mpenzi asiesoma zaidi kuliko aliyesoma, utampata mpenzi wa ndoa mnamo tarehe 30 na huenda mkakutana hospitali au hotelini au baada ya ajali.
    Kuwa maridadi, vaa viatu virefu vya kisigino na mlio. Usikose senti kidogo na usioneshe kulia au kukata tamaa na kumuhudumia katika ugonjwa wake au jamaa wake wa kike. Kutaneni siku ya Alhamisi
    .Kwa uzaidizi wowote tutembelee katika ofisini kwetu ambayo epo Majengo County ya vihiga au piga simu +254740637248 au tembelea tovuti yetu katika https://aol360studios.com

    READ ALSO  "I resigned from my job and opted for business, this was my worst ever decision to have ever made in my life as things never worked my way in my new business" A man claims

       
       
       
       
       
     
    4.8
    Based on 19 reviews
    powered by Google
    robert dede
    07:23 28 Sep 24
    Good job. You helped me get my wife back.
    Margaret Wanjala
    12:58 26 Sep 24
    I am deeply appreciative of the time and resources dedicated to my case.thanks so much mugwenu doctors
    Humphry Kigika
    05:47 23 Sep 24
    Thank you Doctor, you helped me a lot, my wife came back with the children
    mlikanews
    05:32 23 Sep 24
    He helped me alot.i get back my stollen properties.thanks alot mugwenu doctors.
    Valerie Mulaa
    18:39 22 Sep 24
    Thanks for helping me get back my husband. i love him so much. he gives me money nowadays. asante sanaaa
    Silverstain Mukagwa
    07:36 22 Sep 24
    Hello Mugwenu Doctor, your spell worked like I really wanted. The ceremony I did was a great moment! I felt an incredible energy enveloping me when I did it! I can’t believe this really happened after all the bad experiences I had with spell casters. Thank you very much Mugwenu Doctors!” – Lorene vuguza
    Cynthia Mutindi
    06:48 22 Sep 24
    Thanks to Mugweno Doctors.You helped my father who was in ICU For 14 days without doctors finding any disease. now He is healed and healthy
    Chief Chief
    13:29 21 Sep 24
    I had given up on ever getting help, until someone recommended me to Daktari. Thank you for being there for people like us
    Nicholas Kavita
    09:51 20 Sep 24
    I had a great experience with Mugwenu Doctors. They are very professional and helpful. Their services were effective and delivered with care. Highly recommend to anyone seeking traditional healing methods. Five stars for their dedication!"
    js_loader

    SUGGESTED FOR YOU

    Unlock Financial Stability with Our Proven Money Spells, Money Spells That Work, How to Perform a Money Spell How I Went from Broke to Financial Breakthrough in Just Three Days Through Fast Money Spells That Work Immediately How I Brought Back My Lost Lover in 24 Hours After a Painful Separation Through a Powerful Traditional Healing Process Must Read!! See What  To Do If You Wish To Protect  Yourself From Evil Eye & Bad Luck Shame!! Kampala City Lawyer Caught In The Act With  House Maid

    READ OUR PRIVACY POLICY