Kwa Kila Ngamia Kuna Jini, Asiye Jua Ukweli Hili Ndilo Fafanuo

  • CONTACT US:   |   |  
  •  

    Habari za asubuhi mpenzi msomaji wa blogu ya ASILI ZETU, bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea vyema baada ya wikiendi ndefu ya sikukuu za Pasaka kwa upande wa ndugu zetu wakristo.

    Kwa wale wafuatiliaji wa makala hii, bila shaka mlikuwa mkiisuburia kwa hamu sehemu ya mwisho ambayo kwa rehema nilizojaliwa na Allah nimeweza kuimalizia kuandika, endelea nayo hapo chini.

    Mashetani pia huishi ndani ya majumba wanayoishi watu. Mtu anaweza kuwazuia wasiingie ndani ya nyumba au anaweza kuwafukuza ndani kwa kulitaja Jina la MwenyeziMungu (Bismillah), kumdhukuru au kumtaja Allah, kusoma Qur’an hasa hasa “Ayatu Qursiyu ya Surati Baqara (ambayo ni aya ya 255 ya sura hiyo).

    Mtume (saw) amesema kuwa mashetani huzagaa na kurandaranda kwa wingi pale giza linapoanza kuingia. Kwa sababu hii, amewanasihi Waislamu kuwarudisha ndani watoto wao katika muda huo. Haya yamesemwa katika Hadith iliyonakiliwa na Bukhari na Muslim.

    Mashetani huikimbia Adhana na hushindwa kustahamili kuisikiliza. Katika Mwezi wa Ramadhani Mashetani hufungwa minyororo (pingu).

    MAHALI WANAPOPENDA KUKAA AU KUKUSANYIKA MASHETANI
    Mashetani hupendelea kukaa baina ya kivulini na juani (baina ya kivuli na mwanga wa jua). Kwa sababu hiyo, Mtume (saw) amewakataza Waislamu kukaa sehemu hizo. Hadith hii sahihi imenakiliwa katika vitabu vya Sunan na vitabu vingine.
    WANYAMA NA MAJINI
    Katika Hadith ya Ibn Masud iliyonakiliwa katika Sahih Muslim, Majini walimuuliza Mtume (saw) kuhusu chakula chao. Akawaambia, “kila mfupa uliosomewa Jina la Allah ni chakula chenu.
    Muda uleule mfupa utakapofika mikononi mwenu utavikwa nyama. Na kinyesi ( cha ngamia) ni chakula cha wanyama wenu.” Hivyo, Mtume (saw) katujuza kuwa majini wanao wanyama wao ambao chakula chao ni kinyesi cha wanyama wa binadamu.

    READ ALSO  Nyeri; A church service comes to an end early after a church member during testimony hour shared videos of their pastor making love with his wife

    WANYAMA MAALUM AMBAO MASHETANI HUANDAMANA NAO
    Mashetani huandamana na wanyama kadha wa kadha kama vile ngamia. Mtume (saw) kasema:
    “Kwa hakika ngamia kaumbwa kutokana na mashetani. Na nyuma ya kila ngamia yupo shetani.”1 Kwa sababu hiyo, Mtume (saw) katukataza kusalia kwenye mazizi ya ngamia. Imenakiliwa Hadith katika Vitabu vya Musnad Ahmad na Sunan Abu Dawud kuwa Mtume (saw) amesema:

    “Msiswalie katika mazizi ya ngamia, kwani wanatokana na mashetani. Ila swalieni kwenye machungio ya kondoo kwani wana bar-ka.”2 Ibn Majah,
    katika Kitabu chake, Sunan, kanakili Hadith yenye isinadi sahihi kuwa Mtume amesema:
    “Msiswalie mahali wanapopumzikia ngamia (yaani pale waendapo baada ya kunyweshwa maji), kwani wao wameumbwa kutokana na mashetani.”

    Hadith hii inakanusha madai ya wale wanaosema kuwa sababu ya kukatazwa kusalia kwenye mazizi ya ngamia ni kuwa mkojo na kinyesi chao ni najisi. Ukweli ni kuwa mkojo na kinyesi cha mnyama yeyote yule anambaye ni halali kuliwa hakihesabiwi kuwa ni najisi.
    Wale wanaosumbuliwa na mashetani wa kijini, ndoto mbaya, maruhani, pete ya bahati, kusafisha nyota, mvuto wa biashara n.k
    .Kwa uzaidizi wowote tutembelee katika ofisini kwetu ambayo epo Majengo County ya vihiga au piga simu +254740637248 au tembelea tovuti yetu katika www.mugwenudoctors.com

       
       
       
       
       
     
    4.8
    Based on 19 reviews
    powered by Google
    robert dede
    07:23 28 Sep 24
    Good job. You helped me get my wife back.
    Margaret Wanjala
    12:58 26 Sep 24
    I am deeply appreciative of the time and resources dedicated to my case.thanks so much mugwenu doctors
    Humphry Kigika
    05:47 23 Sep 24
    Thank you Doctor, you helped me a lot, my wife came back with the children
    mlikanews
    05:32 23 Sep 24
    He helped me alot.i get back my stollen properties.thanks alot mugwenu doctors.
    Valerie Mulaa
    18:39 22 Sep 24
    Thanks for helping me get back my husband. i love him so much. he gives me money nowadays. asante sanaaa
    Silverstain Mukagwa
    07:36 22 Sep 24
    Hello Mugwenu Doctor, your spell worked like I really wanted. The ceremony I did was a great moment! I felt an incredible energy enveloping me when I did it! I can’t believe this really happened after all the bad experiences I had with spell casters. Thank you very much Mugwenu Doctors!” – Lorene vuguza
    Cynthia Mutindi
    06:48 22 Sep 24
    Thanks to Mugweno Doctors.You helped my father who was in ICU For 14 days without doctors finding any disease. now He is healed and healthy
    Chief Chief
    13:29 21 Sep 24
    I had given up on ever getting help, until someone recommended me to Daktari. Thank you for being there for people like us
    Nicholas Kavita
    09:51 20 Sep 24
    I had a great experience with Mugwenu Doctors. They are very professional and helpful. Their services were effective and delivered with care. Highly recommend to anyone seeking traditional healing methods. Five stars for their dedication!"
    js_loader

    SUGGESTED FOR YOU

    Unlock Abundant Wealth with Our Proven Money Spells, Instant Money Spells, 40 Money Spells Man Wins Court Case through Spells to Win Case Land the Best Paying Jobs in Kenya and Uganda Bring Back Lost Lover with Holy Ash We Can Help You Bring Back Your Lost Lover

    READ OUR PRIVACY POLICY