NJIA KUU YA KABALA YA KUITA MAJINI KWA HARAKA NA URAHISI ZAIDI NA KUPATA CHOCHOTE UKITAKACHO KUTOKA KWA JINI

  • CONTACT US:   |   |  
  •  

    Kama jinsi ilivyokuwa kwa Masharti ambayo yameshaelezwa hapo kabla juu ya kujitakasa na mengineyo; namna ya kumuita Jini Mwenye Nguvu za Ajabu Kwa kutumia Njia Kuu ya KABALA ni kama ifuatavyo:-

    Kwanza kabisa unatakiwa uwe na nia thabiti na ya kweli, uwe Msafi pamoja na mambo mengine kwani usipokuwa hivyo utakapomuita badala ya wewe kuwa na nguvu kubwa za kumdhibiti huyo Jini, yeye ndie ataweza kukudhibiti kwa kuwa hukufuata maelekezo ya kujitakasa kwanza.

    For consultations call +254740637248/E-mail [email protected] or visit www.mugwenudoctors.com for more

    Iwapo utaelewa hayo; basi yaliyobaki ni rahisi sana:-

    Unatakiwa umpate Kuku Mweusi ambae hajawahi kamwe kupandwa na Jogoo. Na unapomkamata uhakikishe ya kuwa hapigi kelele (halii kwa sauti kubwa); hivyo ni bora zaidi kama utaweza kumkamata akiwa kwenye usingizi, huku ukimkamata shingo yake ila usitumie nguvu za ziada sana katika kumzuia asipige kelele.

    Baada ya hapo unatakiwa uende moja kwa moja hadi njia kuu na utembee hadi hapo utakapoikuta NJIA PANDA. Ukifika hapo subiri na mara itakapofika Usiku wa manane (Saa Sita Kamili usiku), itapofika saa hiyo unatakiwa Uchore Duara kwa kutumia Fimbo ya Mti wa Mvinje.

    Baada ya Kuchora Duara hilo, unatakiwa uingie katikati ya Duara hilo ulilolichora, na Unatakiwa Umgawanye Kuku huyo katika Vipande viwili vinavyolingana na wakati ukifanya hivyo unatakiwa uwe unasema maneno haya mara TATU (3) :..

    “ELOIM, ESSAIM, FRUGATIVI ET APPELLAVI”.

    Baada ya kusema hayo, Geukia Upande wa Mashariki, Piga magoti alafu sema Sala yako alafu malizia kwa kulitaja Jina lake; ambalo ni …“ROFOCALE”.

    Wakati huo Jini atakutokea;

    · Akiwa amevalia Koti refu lililodariziwa, lenye Rangi nyekundu,
    · Fulana ya ndani ya Rangi ya Njano,
    · Suruali yenye rangi ya Kijani isiyokolea.

    READ ALSO  Husband Accidentally Takes Wrong Viagra Dose During Wedding Day, Ladies Are Having A Good Day indeed

    · Kichwa chake kitakuwa kinafanana na kile cha Mbwa,

    · Lakini Masikio yake yatakuwa yanafana na yale ya Punda,

    · Kichwani atakuwa na Mapembe mawili,

    · Atakuwa na Miguu na Kwato zinazofanana na za Ndama.

    Atakuambia umuamrishe unalolihitaji akufanyie, ambapo na wewe unatakiwa useme yale yote ambayo unayataka kwa kadri itakavyokupendeza wewe mwenyewe.

    Na kwa sababu ukiwa ndani ya hilo Duara ulilolichora, HAWEZI kukudhuru na hatakuwa na njia nyingine ya kufanya ila kufanya chochote kile utakachomuagiza, basi ujue ya kuwa utafanikiwa kupata mambo mengi yote utakayoyaagiza na utafanikiwa kuwa Tajiri PAPO HAPO, na utapata mafanikio na furaha kubwa Maishani mwako

    For consultations call +254740637248/E-mail [email protected] or visit www.mugwenudoctors.com for more

     

     

       
       
       
       
       
     
    4.8
    Based on 19 reviews
    powered by Google
    robert dede
    07:23 28 Sep 24
    Good job. You helped me get my wife back.
    Margaret Wanjala
    12:58 26 Sep 24
    I am deeply appreciative of the time and resources dedicated to my case.thanks so much mugwenu doctors
    Humphry Kigika
    05:47 23 Sep 24
    Thank you Doctor, you helped me a lot, my wife came back with the children
    mlikanews
    05:32 23 Sep 24
    He helped me alot.i get back my stollen properties.thanks alot mugwenu doctors.
    Valerie Mulaa
    18:39 22 Sep 24
    Thanks for helping me get back my husband. i love him so much. he gives me money nowadays. asante sanaaa
    Silverstain Mukagwa
    07:36 22 Sep 24
    Hello Mugwenu Doctor, your spell worked like I really wanted. The ceremony I did was a great moment! I felt an incredible energy enveloping me when I did it! I can’t believe this really happened after all the bad experiences I had with spell casters. Thank you very much Mugwenu Doctors!” – Lorene vuguza
    Cynthia Mutindi
    06:48 22 Sep 24
    Thanks to Mugweno Doctors.You helped my father who was in ICU For 14 days without doctors finding any disease. now He is healed and healthy
    Chief Chief
    13:29 21 Sep 24
    I had given up on ever getting help, until someone recommended me to Daktari. Thank you for being there for people like us
    Nicholas Kavita
    09:51 20 Sep 24
    I had a great experience with Mugwenu Doctors. They are very professional and helpful. Their services were effective and delivered with care. Highly recommend to anyone seeking traditional healing methods. Five stars for their dedication!"
    js_loader

    SUGGESTED FOR YOU

    Unlock Financial Stability with Our Proven Money Spells, Money Spells That Work, How to Perform a Money Spell How I Went from Broke to Financial Breakthrough in Just Three Days Through Fast Money Spells That Work Immediately How I Brought Back My Lost Lover in 24 Hours After a Painful Separation Through a Powerful Traditional Healing Process Must Read!! See What  To Do If You Wish To Protect  Yourself From Evil Eye & Bad Luck Shame!! Kampala City Lawyer Caught In The Act With  House Maid

    READ OUR PRIVACY POLICY